Featured
Loading...

VIDEO: ALICHOKIONGEA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA TUZO ZA BET

MIIINYAA HAAAPOO JUUUU KWA MAPIIICHAAA ZAIDIIII
Diamond Platnumz amefunguka baada ya tuzo aliyokuwa akiwania kwenda kwa Black Coffee wa South Africa.
Kila kitu kimeenda fresh na tuzo za Afrika zimeenda kwa Black Coffee, unatakiwa umshukuru mungu kwa kila kinachotokea na hata ukiangalia kwa mwaka jana Tanzania ndio Nchi ambayo imepokea tuzo nyingi sana za Internationa kwa hiyo watu waendelee tu kussuport‘  Diamond Platnumz
MIIINYAAA HAPAAA CHIIINII KUCHEKIII VIDIOOO

Chapisha Maoni

Zingatia: Mwanachama wa blogu hii tu ndiye anayeweza kuchapisha maoni.

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright kiss tz | Designed By Code Nirvana
Back To Top